FREEMAN MBOWE AINGIA MIKONONI MWA POLISI,SOMA HAPO KUJUA
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe
amekamatwa na Jeshi la Polisi ili kuhojiwa kuhusiana na tuhuma za madawa
ya kulevya.
Taarifa za kukamatwa kwa Mbowe zimethibitishwa na
Kamishna wa kanda maalumu Dar es salaam Simon Sirro
Msemaji wa CHADEMA Boniface Makene,amesema Mbowe amekamatwa wakati akiwa njiani kuelekea kituo cha polisi kwa mahojiano.
Msemaji wa CHADEMA Boniface Makene,amesema Mbowe amekamatwa wakati akiwa njiani kuelekea kituo cha polisi kwa mahojiano.