Zinazobamba

KAMANDA MBOWE AJITOSA KWENYE MGOMO WA MADEREVA,APOKELEWA KWA SHANGWE KUBWA,SOMA HAPO KUJUA


Kiongozi wa kambi ya Upinzani bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amewasili kituo cha mabasi Ubungo na kupokelewa kwa shangwe na Madereva walioko kwenye mgomo

Mgomo huo  leo  umeingia  siku  ya pili na  hali  bado haieleweki kuwa lini mwisho wa ukomo wa mgomo huu kutokana na  ukimya  wa  mamlaka  husika.


Katika kituo kikuu cha mabasi ubungo wapo abiria wakiwa na matumaini ya pengine huenda ikatokea bahati wakasafiri,Askari wapo na mbwa wamezagaa kila  kona.

No comments