Zinazobamba

MBEYA KWACHAFUKA, HIVI NDIVYO ULINZI ULIVYOIMARISHWA MKOANI MBEYA,KIKAO CHA SSERIKALI NA WAFANYABIASHARA KUFANYIKA MCHANA HUU

 

Polisi wakiwa wanasindikiza gari la matangazo ambalo lilikuwa likitangaza kuomba Vurugu hizo na maandamano yasiyo Rasmi yasimamishwe 
Ulinzi ukiwa unazidi kuongezeka kama inavyo onekana pichani Muda huu...
Taarifa za awali zinasema kwamba kuna mkutano wa Ghafla umeandaliwa hapo saa nane mchana ambapo wafanya biashara pamoja na wahusika kutoka Serikalini watakutana ili kujadili suala hilo la Mashine hizo. 

Endelea kufuatilia nini kitazungumzwa hapo.. Timu nzima ya Mbeya yetu BLOG tumeungana nayo Live tutakuwa eneo la tukio kukujuza hatua baada ya hatua..

AWALI HALI YA VULUGU ILITAWALA KATIKA JIJI LA MBEYA BAADA YA KUTAJWA KIKAO CHA GHAFLA KATI YA SERIKALI NA WAFANYABIASHARA KINACHOTARAJIWA KUFANYIKA JIONI HIII
Polisi wakiwa katika ulinzi mkali 
 Maduka yakiwa yamefungwa 
 Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini  hatma yao
 Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu
 Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote
 Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA
 Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia 
 Jiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipite
 Hali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili.....

No comments