Zinazobamba

POLISI WAMKAMATA MDADA ANAYEMILIKI SARE ZA JESHI

SAM_2474 (FILEminimizer)Jeshi la Polisi  kanda maalum Dsm lilifanikiwa kumkamata mwanamke atambulikae kwa jina la Said Mohamed mkazi wa mwasonga kigamboni wilaya ya Temeke nyumbani kwake akiwa na sare za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ)ambazo ni suruali 7 za kombati,mashati ya kombati,kofia 10 za kombati,fulana 2, kofia aina ya bareti,viatu jozi tatu mtuhumiwa huyo anaendelea kushiliwa kwa mahojiano nakufikiswa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika.
SAM_2514 (FILEminimizer)
Hizo ndo nguo zilizokamatwa nyumbani kwa mwanamke huyo
Alikadharika wakati huohuo Jeshi la Polisi kanda maalum lilifanikiwa tena kukamatwa kwa komputa nne za kudurufu kazi za wasanii huko buguruni polisi wakiwa katika doria walifanikiwa kukamata komputa 4 zikiwa na nyimbo za wasanii mbalimbali kinyume cha sheria na CD 200 bandia ambazo tayari walikuwa wakiziandaa kw kuingiza sokoni watuhumiwa hao ni Benjamini Atery mkazi wa ilaa, Nicolous Mbise mkazi wa tabata, Mohamed Shabani mkazi wa ilala bungoni, Peter Laurent mkazi wa buguruni, na Mohamed Rashid mkazi wa yombo, watuhumiwa wote wamekamatwa wanaendelea kuhujiwa baada ya upelelezi kukamilika watuhumiwa hao kupelekwa mahakamani.
SAM_2516 (FILEminimizer)
hizo ni baadhi ya CDz ilizokamatwa katika operesheni hiyo ya msako mkali wa jeshi la polisi

PIA JESHI LA POLISI KANDA MAALUM LAZIMA JARIBIO LA KUPORA FEDHA KIASI CHA SHILINGI 60,000,000/= TOKA KAMPUNI YA NDEGE YA FAST JET.
Watu hao wa tano kwa kosa la kula njama na kujaribu kufanya tukio la uporaji katika kampuni ya Fast Jet, tukio hilo limemhusisha mmoja wa wafanyakazi katika kampuni hiyo aitwae Enea Dawson, kutokana na mtandao wa hali ya juu wa jeshi la polisi taarifa zilipokelewa kwamba kuna majambazi walikuwa na mpango wakufanya tukio kwa kushirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo

No comments