MENGI ASEMA RUSHWA INANUKA TANZANIA, IMEMKOSESHA MIRADI MIWILI MUHIMU,
Hayo ameyasema leo katika mkutano wa uzinduzi wa kitrabu cha utafiti juu ya mtazamo wa wafanyabiashar a juu
Mengi amesema kuna vitu vingi vinakwamisha nazingira ya ufanyaji biashara hapa Tanzania lakini suala la Rushwa linaonekana kuwa kero zaidi kwani wengi wanaendelea kukosa haki zao kutokana na uwepo wa rushwa,
Bw, Mengi ameendelea kusema kuwa nchi hii inawatoa rushwa wachache sana hawadhini wanne na kwamba kama kweli serikali iko tayari kupambana na watu hawa tunaweza kushinda vita na tanzania ikawa kama nchi za wenzetu huko Rwanda
Hapa Mengi akifafanua juu ya madhara ya kuendekeza rushwa,amesema w
No comments
Post a Comment