Hizb Ut Tahrir Tanzania yamng’ata sikio Mufti Zubeir
Jana tarehe 19 Februari 2024 Sheikh Mussa Kileo, Mwenyekiti wa
Kamati ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir Tanzania aliongoza ujumbe wa watu
watatu akiwemo Masoud Msellem, Mwakilishi kwa Vyombo vya Habari Hizb ut Tahrir
Tanzania uliokwenda Afisi ya Mufti kumfikishia risala ya nasaha ya kimaandishi
iliyopokewa na afisi ya Katibu wake kwa niaba yake.
Risala hiyo ni kuhusu namna jamii ya Kiislamu isivyoridhishwa na
ukimya wa Mufti na BAKWATA au kutoa kwao kauli zisizostahiki kuhusiana na
qadhia mbalimbali za Waislamu za kitaifa na kimataifa.
Risala ya Ujumbe huo ilihusu qadhia zifuatazo:
Endelea Hapa: Ujumbe wa Hizb ut Tahrir Tanzania Wapeleka Risala Maalumu kwa Mufti Mkuu na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)
Hakuna maoni
Chapisha Maoni