KAMPUNI YA SIMU YA ITEL YATOA MSAADA KWENYE KITUO CHA WATOTO YATIMA,SOMA HAPO KUJUA
Pichani kushoto ni Balozi wa Kampuni ya simu Itel ambaye pia ni staa wa Bongo Muvi,Iren Uwoga akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya Kampuni hiyo kutoa msaada wa kwenye kituo cha Watoto Yatima kilichopo Sinza Jijini Hapa |
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dasr es salaam uwoya amesema lengo la kutoa msaada huo kwa watoto hao ni kuonesha upendo, furaha na ushirikiano katika kipindi hiki cha maandalizi ya sikukuu ya Eid l fitri.
Aidha balozi huyo ameziunga mkono jitihada zinazofanywa na kiutuo hicho cha kulelea watoto yatima pamoja na vituo vingine katika kuhakikisha kuwa watoto wote wanakuwa na furaha na kupata mahitaji yote wanayostahili.
Sehemu ya Misaada iliyotolewa na Kampuni hiyo bomba ya simu
Kwa upande wake Katibu mtendaji wa kituo hicho cha kulelea watoto yatima HASSAN HAMISI ameeleza baadhi ya changamoto zinazowakabili katika kituo hicho ni pamoja na ,malezi ya watoto hao,upungufu wa vifaa vya shule,kutokuwa