MSIBA WA MAWAZIRI WASTAFU WAZIDI TOKEA,BAADA YA SAMWEL SITTA,LEO AFARIKI HUYU,SOMA HAPO KUJUA
Aliyewahi kuwa waziri wa Elimu Tanzania Joseph
Mungai amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa
matibabu
Geofrey Mungai mtoto wa Marehemu amesema marehemu
alipelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuanza kutapika mfululizo na
kudhaniwa kwamba alikuwa amekula kitu kibaya.
Taarifa za msiba huu zinakuja ikiwa ni siku moja
kupita baada ya Taifa kumpoteza Waziri wa zamani wa Uchukuzi,na Spika wa Bunge
,Samwel Sitta ambaye amefariki nchini Ujerumani alipokuwa na kwenye Matibabu ya
Ugonjwa Tezi Dume