Zinazobamba

MSIBA MZITO TANZANIA BONDI MAARUFU AFARIKI DUNIA,SOMA HAPO KUJUA



Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali amefariki dunia usiku wa kuamkia leo October 31 2016 maeneo ya Kimara DSM, 

Taarifa zinadai kuwa alishambuliwa na wananchi baada ya madai ya kuitiwa mwizi.


Taarifa kutoka kwa Promota wake, Siraji Kaike amesema watu aliokuwa anagombana nao walimwitia mwizi na wakawa wamemshambulia na kumtupa baadaye bodaboda waliokuwa wanamjua Thomas Mashali walimuokota na kumpeleka hospitali ambapo baadaye zilitolewa taarifa kuwa amefariki.