WAMACHINGA UBUNGO WATAKIWA KUHAMA....MSAKO MKALI KUANZA KESHO

Akizungumza na wafanyabiashara hao katika soko la Sinza Mawasiliano, Jacob amesema wamefikia hatua hiyo ili kuwafanya wafanyabiashara hao kuwa na vikazi maalum.
Amesema wameanza kwa kuwapa namba maalum ambayo ndio kielelzo chao cha kumiliki eneo la kufanya biashara eneo la Sinza.
“Nawasihi wafanyabiashara wa Ubungo kuhamishia biashara zao katika eneo la soko la Mawasiliano tulilowatengea”.




Hakuna maoni
Chapisha Maoni