Zinazobamba

HIVI NDIVYO MSAKA URAIS SITTA ALIVYOWASHIKA VIJANA....


SAMUEL SITTA akisalimiana na mmoja wa wafunga ndoa waliohudhuria katika kanisa katoriki la mjini Morogoro, Samuel sita alikuwepo katika kanisa hilo kama mgeni mwalikwaNi kama amewashika vijana, Aliyekuwa mwenyekiti wa bunge maalum la katiba ameonekana kuanza kushika mioyo ya vijana baada ya kujitokeza katika shughuli muhimu ambazo hata kijana wa kawaida ni vigumu kuweza kumpata mzee huyo kuhudhuria ndoa yako, 
Hivi karibuni MZee huyo alikutwa na FULLHABARI akishiriki katika shida na raha na kuwatakia heri vijana ambao ndio wanaanza maisha.
Bw. Said Magali akiwa  na mkewe Bi Scorastica katika pozi maridadi siku walipouaga ukapera huko katika kanisa kuu wa wakatoriki mjini Morogoro,



Mzee kipenzi cha watu akifuatilia wanandoa waliofunga ndoa hiyo juzi, jumla ya ndoa tatu zilifungwa siku hiyo

Mlimbwende Scola katika pozi matata, Scola anatarajiwa kwenda kuishi na mmewake, Bw. Magali huko Kabuku Mkoani Tanga.

Magali akiwa katika pozi la ndoa , huyu ni mdau wangu wa nguvu hongera ndugu kwa kuaga ukapela.

Maoni 1

Bila jina alisema ...

hao hao aliohudhulia harusi zao kura zao zitatosha kumpa urais kwa hiyo asihofu watamchagua tu!