ZUNGU AWA MBOGO, HARUFU YA RUSHWA CBE YAMSHTUA, AEMA WALIOHUSIKA KUKIONA
Mbunge wa jimbo la Ilala amekasirishwa vibaya na ubadhirifu wa fedha za mfuko wa jimbo uliofanywa na watu wa halmashauri hiyo kwa kujenga vibweta visivyo na ubora uliotarajiwa, huku fedha nying zikiingia katika mifuko ya watu wachache ambao hawakupaswa kula
Akizungumza na mtandao huu baada ya ukaguzi wa dharula uliofanyika katika chuo hicho mapema hii leo, Zungu amesema hakufurahishwa hata kidogo na fedha za mfuko wa jimbo zilivyotumika katika chuo hicho cha CBE na kusema kuwa atahakikisha kuwa watu wotewaliohusika kuhujum fedha hizo za walala hoi watawajibika ipasavyo,
Zungu ameendelea kusema kuwa tayari Diwani alitaka kujenga vibweta hivyo tena kwa ubora wa aina yake akini watu wachache waligoma na mwisho wa siku walichokifanya ni madudu matupu kwa vibweta vilivyojengwa.
Sula hili kwa kweli sikubali, tulisema hapo awali kuwa fedha za mfuko wa jimbo ni za watanzania ambao wanalipa kodi sasa iweje watu wanatumia kwa kufoji, nasema hili lazima nilisimamie,
Watanzania wanaona kama hatufanyi kazi na hiyo ni kutokana na watu wachache kuturudisha nyuma, lakini nasema hili lazima wahusika wawajibike
Fullabari ilishuhudia Vimbweta hivyo vikiwa na nyufa, kitu ambacho kinaonyesha wazi kuwa material yaliyotumika ni ya kiwango cha chini.
Aidha katika hatua nyingine, Mbunge huyo amewataka wanafunzi wanaosoma katika chuo hicho kuacha maramoja tabia za kuwarubuni wanawake na badala yake waruhusu akili zao kujikita katika masomo,
Aidha meendelea kusema kuwa, wanafunzi hao pia wanatakiwa kuwa mabalozi wazuri kwa kuwataka watabnzania kuanza kuamka na kupanga uzazi wao wa mpango
Zungu
Sula hili kwa kweli sikubali, tulisema hapo awali kuwa fedha za mfuko wa jimbo ni za watanzania ambao wanalipa kodi sasa iweje watu wanatumia kwa kufoji, nasema hili lazima nilisimamie,
Watanzania wanaona kama hatufanyi kazi na hiyo ni kutokana na watu wachache kuturudisha nyuma, lakini nasema hili lazima wahusika wawajibike
Fullabari ilishuhudia Vimbweta hivyo vikiwa na nyufa, kitu ambacho kinaonyesha wazi kuwa material yaliyotumika ni ya kiwango cha chini.
Aidha katika hatua nyingine, Mbunge huyo amewataka wanafunzi wanaosoma katika chuo hicho kuacha maramoja tabia za kuwarubuni wanawake na badala yake waruhusu akili zao kujikita katika masomo,
Aidha meendelea kusema kuwa, wanafunzi hao pia wanatakiwa kuwa mabalozi wazuri kwa kuwataka watabnzania kuanza kuamka na kupanga uzazi wao wa mpango
Zungu
Hapa mbunge huyo akiaini kitabu cha wageni katika ofisi ya mkuu wa chuo cha biashara, |
Sehemu ya wanafunzi wakimsikiliza mbunge wao Zungu, wanafunzi hawa wamefurahishwa na jitihada anazoonyesha mbunge huyu kipenzi cha watu |
Hakuna maoni
Chapisha Maoni