Zinazobamba

RC BURIAN AMEFUNGA MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KITAIFA MKOANI TANGA

Pichani kulia ni Meneja Huduma kwa Wateja tawi la NMB Benki Plc Madaraka,Tanga.Juma Omary

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Batilda Burian,leo Januari 26,2025,amefunga Maadhimisho ya wiki huduma ya fedha Kitaifa yaliyofanyika kwenye viwanja vya usagara Mkoani humo.

Kabla ya kufunga alitembelea mabanda yalikuwa kwenye viwanja hivyo ikiwemo Banda la Benki ya  NMB na akawapa hongera kwa kazi kubwa wanayoifanyaPichani katikati alieshika maiki,ni Meneja Mahusiano idara ya kilimo Kanda ya kasikazini Shukuru Banzi. 

No comments