Zinazobamba

MABOSI WA KAMPUNI YA ACACIA WAJIZULU,SOMA HAPO KUJUA

 MTENDAJI MKUU WA ACACIA NA AFISA MKUU WA FEDHA WAJIUZULU


Mtendaji mkuu wa Kampuni ya uchimbaji dhahabu nchini ya Acacia, Brad Gordon ametangaza kujiuzuru nafasi hiyo kwa madai ya kurejea nyumbani kwao nchini Australia kuendelea na majukumu ya kifamilia.

Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, kutoka ndani ya ACACIA kimeimbia Matukio360 kuwa mbali na kiongozi huyo, naye Afisa mkuu wa Fedha, Andrew Wray, kwa nyakati tofauti wamewasilisha barua zao za kuitaarifa kampuni nia yao ya kujiuzuru nyadhifa walizonazo.

Bodi tayari imeshafanya uteuzi wa kuziba nafasi hizo.