Zinazobamba

MGOMO GAZETI LA CCM,MAPYA YAFICHUKA,KIGOGO WA CCM ATAJWA KUFANYA UFISADI SOMA HAPO KUJUA


Pichani ni Katibu mkuu wa ccm bwana kinana



HATIMAYE siri zimeanza kufichuka juu ya Mgomo mkubwa wa Wanyakazi wa Gazeti la Uhuru baada ya  kubainika Bodi ya watendaji wa Gazeti hilo kukumbatia Ufisadi ambao umepelekea Wanyazakazi  wake kukosa Mshahara unaofikia miezi mitano sasa.Mtandao huu umebaani.Anaadika KAROLI VINSENT endelea nayo.
Gazeti la Uhuru ambalo linamilikiwa na Chama cha Cha Mapinduzi CCM lilianzishwa kwa lengo la kueneza Propaganda za chama hicho kwa watanzania pamoja na kuviponda vyama vya upinzani nchini,limekubwa na mgomo mkubwa wa Wafanyakazi ulioanza jana huko wakidai kuteseka kwa kukosa mishahara pamoja na malupulupu kwa mda wa miezi mitano.
         Kwa mujibu wa Chanzo chetu kilichopo ndani ya Gazeti hilo kimeuambia mtandao huu kwamba sababu ya Mgomo huo unatokana na Mwenyekiti wa Bodi la la Gazeti hilo aliyekuwa Mstahiki meya Adam Kimbisa kuitisha kikao cha Bodi haraka na kumsimamishwa Mkurugenzi wa Gazeti la Uhuru bwana Piter Kilangwa bila sababu ya msingi.
   Bwana Piter Kilangwa ambaye kabla ya kuja Gazeti hilo alikuwa Mhariri wa Magazeti ya Serikali na aliteuliwa nafasi hiyo na Kigogo wa Juu wa CCM kwa lengo la kulikuza Gazeti hilo  kimaudhui ambayo yanadaiwa kuwa yalishuka.
   Kwa Mujibu wa Mtoa taarifa huyo amesema kilichofanywa na Bodi ya Uhuru Gazeti cha Kumsimamisha Bwana Kilangwa ni kutaka kuficha madudu ya Kifisadi yanayofanywa na Katibu mkuu wa Bodi hiyo  kwenye matangazo mbali mbali yanayoletwa Gazetini huku akishilikiana na watendaji wachache wa Gazeti la Uhuru.
“Sikiliza nikwambia hapa wafanyakazi tumegoma kushinikiza Bwana Kilangwa arudi maana huyu alikuwa ameanza kubaini sababu ya sisi kutolibwa mshahala kwa miezi mitano kwamba inatokana na Katibu wa Bodi kushirikiana na watendaji wa bodi kutafuna pesa za matangazo yanayotoka wizara mbali mbali huku sisi tukisota”
     Ameongeza kuwa kwa kusema “ Bodi ya uhuru baada ya kuona bwana Kilangwa ameanza kubaini michezo michafu ya kifisadi ya kuiba pesa za matangazo kutoka serikali wakamsimamisha kazi ili madudu hayo yasifichuke,achia hivyo bwana huyo alikuwa  ameanza kuwatetea wafanyakazi ambao wamekuso mshahala kwa siku chingi huku akuna sababu ya msingi”
   Mbali na hujuma Matangazo,sababu inayotajwa huenda imepelekea gazeti hilo kuyumba ni kutokana na kushuka kwenye maudhui yanayozalishwa.
“Ujue sahivi kazi ya Magazeti imekuwa na ushindani mkubwa,ujue hilo gazeti limeshuka sana kimaudhui yaani likuwa kama jarida la CCM,lipo kwa ajili ya kuwaponda UKAWA na kuwasafisha watuhumiwa wa Ufisadi wa CCM ambao ndio wamelimaliza Ta9ifa hili. Wewe unategemea nini mwananchi atalisoma gazeti hili ndio maana limeshuka”

No comments