Zinazobamba

TAARIFA MUHIMU KUHUSU FULLHABARI.BLOGS WASOMAJI WOTE INAWAHUSU



MKUREGENZI na Mmiliki wa Mtandao makini kabisa nchini wa FULLHABARI.BLOGS anaomba Radhi kwa wasomaj wake wote wa Mtandao huu kwamba kutokana na matatizo ya kiufundi kwa sasa mtandao huu utakuwa unatatizo la kuchelewa kuwekwa Habari,
Juhudi kubwa zinafanyika ili kuondoa tatizo hilo,
Vilevile mbali na hilo mtandao huu umejipanga kabambe kujihakikisha kukuletea kwa haraka matukio mbali mbali ya Uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika hapo baadae mwaka huu kwenye ngazi zote ikiwemo Urais,Ubunge na Udiwani.
Basi mtandao huu unakukarisha Mwanasiasa ambaye unataraja kugombania Nafasi hizo kutaka sera zako ziwafikie wapiga kura wako basi usisite kuwasiliana na Watendaji wa mtandao huu utatangaziwa bila Ghalama kubwa,kumba mtandao huu unasomwa na watu zaidi ya elfu saba kwa siku.
Basi wasiliana kwa simu  0714 099486
Au 0654731457

No comments