DUNIA HAINA HURUMA KWELI-- WEZI WACHOMWA KAMA KUKU TABATA LIWITI,KISA SOMA HAPA KUJUA
![]() |
Pichani ni
watu wanaohisiwa ni vibaka wakiwa wamechomwa moto na wananchi wenye hasira kali.
![]()
Picha nyingine pia ya watu wanaohisiwa ni Vibaka waliochomwa moto na wananchi wenye hasira kali
![]() |
Hizo ni picha ni za wezi
ambao hufanya wizi kwa kutumia pikipiki. Inasemekana vijana hao wawili walikuwa
kwenye pikipiki maarufu kama bodaboda walimnyang'anya mkoba binti mmoja leo
alfajiri.
Watu walijitokeza na kuwakamata baada ya hapo waliwakata mikono na kuwachoma moto.
Polisi walifika eneo la tukio na kuchukua miili ya watu hao.
Tumeweka picha chache kwa tahadhari nyingine zipo katika hali mbaya kiasi ambacho hatuwezi kuziweka hapo
Watu walijitokeza na kuwakamata baada ya hapo waliwakata mikono na kuwachoma moto.
Polisi walifika eneo la tukio na kuchukua miili ya watu hao.
Tumeweka picha chache kwa tahadhari nyingine zipo katika hali mbaya kiasi ambacho hatuwezi kuziweka hapo



No comments
Post a Comment