TAN TRADE YAZINDUA MAONYESHO TENA,SASA KAZI KWAKO
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (
Na Karoli
Vinsent
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara
Tanzania ( TanTrade) katika kuanzimisha Siku ya Uhuru wa Afrika, Imeandaa onenyesho kubwa litakalowafanya
Watanzania Wafurahia Siku Hiyo.
Hayo,Yamesemwa
Leo Jijini Dar Es Salaam Na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo
ya Biashara Tanzania ( TanTrade),Jacqueline Mneney Maleko,wakati wa Mkutano na Waandishi wa
Habari,ambapo alisema Lengo la Tamasha hilo ni kuwashirikisha Wadau Mbalimbali
ambao wanatoa Mchango mkubwa Hapa Nchini.
“Lengo la Mashindano ni kuwashirikisha Wadau mbalimbali wakiwemo,BASATA,shirikisho Firamu pamoja na Michezo ya Jadi na
Wajasiriamali wadogowadogo,Madhumuni makubwa ya kufanya maonyesho ni kutangaza
Ubora wa Bidhaa Zetu”
“Maana katika Kipindi Cha Miaka Mitano ambacho tumefanya Maonyesho haya, tumepata muitikio mkubwa kutoka kwa
Wajasiriamali,na sasa Tutazidi kutengenezea fursa Ubora wa Bidhaa zetu za Ndani”alisema
Mama Maleleko
Mama Maleleko,alizidi kusema Licha ya Maonyesho haya kufanyika
Mfurulizo kwa Miaka Mitano,yametoa mwanya kwa Wajisiriamali wa Ndani
kujitangaza na kuwataka Wananchi wajitokeze kwa Wingi kuja kushuhudia
Maonyesho haya yatakayofanyika Tarehe 20
hadi tarehe 25 mwezi huu Viwanja vya Mnazi Mmja Jijini Dar Es Salaam.
Mamlaka hiyo ambayo imekuwa ukisimamia
Maonyesho yanojulika kama Sabasaba.ilisema ,Maonyesho hayo yatashirikisha Zaidi
ya Mikoa ya 14 ya Tanzania Bara Pamoja Zanzazibar.
Mgen,i Rasmi katika Maonyesho hayo,atakuwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara,na pia yatakuwepo
Mashirika ya Rafiki kama TFDA na mengineyo kwa Lengo la kuwapa wajasiliamali
Fursa ya kufahamu ubora wa Bidhaa zao
No comments
Post a Comment