TCRA YAWAFUNDA WAANDAA VIPINDI VYA RADIO NA TV, YAWATAKA KUWEKA MASLAHI YA TAIFA MBELE,
Mamlaka ya mawasiliano hapa nchini,imewataka waanda vipindi katika vituo mbalimbali vya radio na televisin hapa nchini kuacha kuiga mkumbo kwa kuandaa maudhui ambayo hayana tija kwa taifa , na badala yake wajikite katika kuaandaa maudhui itakayochochea kuongezeka kwa vitendo vyema ndani ya jamii,
Akizungumza na waandaa maudhui hao hapa nchini, mkurugenzi mtendaji wa utangazaji katika malaka hiyo, Ndg,Habib Gunze amesema ili kuwa na jamii inayoheshimu maadili, basi radio na television vinamchango mkubwa sana wa kubadilisha maadili kwa kuandaa maudhui yenye tija kwa Taifa,
Gunze amesema, machafuko mara nyingi yanaasababishwa na maudhui ya radio katika jamii husika, kwani radio inauwezo wa kujenga ama kubomoa jamii inayowazunguka
| Mmoja wa wahariri maarufu toka mkoani morogoro aliyefahamika kwa jina la jafari mponda, akisikiliza kwa makini hutuba ya mwenyekiti, |
| Wadau toka mkoani Morogoro wakipozi kwa picha baada ya kuhitisha zoezi la mkutano. |
No comments
Post a Comment