JINSI TGNP WALIVYOUPINGA UKATILI WA KIJINSIA, WASEMA RASILIMALI LAZIMA ZIELEKEZWE HUKO ILI KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA
Mtandao wa kijinsia Tanzania lumeitaka serikali kuelekeza rasilimali katika nyanja ya ukatili wa kijinsia kama kweli taifa limejizatiti kutaka kutokomeza ukatili wa kijinsia hapa nchini,
Tamko hilo limetolewa mapema hii leo wakatika mkutano wa maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia hapa nchni uliofanyika mapema hii leo, katika viwanja vya TGNP vilivypo maeneo ya mabibo,
Akizungumzia hali halisi ya ukatili wa kijinsia,mwakilishi wa TGNP taifa, Bi. Mary Nsemwa amesema kuwa ukatili wa kijinsia bado ni janga la kitaifa , na kwamba hatua za haraka zinahitajika ili kutokomeza kabisa janga hili ambalo linaota miziz kila kukicha, Nsemwa amesema, ili kuondoa tatizo hilo kwa sasa, Serikali haina budi ielekeze rasilimali za kutosha katika tatizo hilo,
Naye mwakilishi wa polisi tokea toka makao makuu, D/CPL KURUTHUM MIKIDADI, amesema kwa upande wao jeshi la polisi wamejipanga sawia kukabiliana na changamoto za ukatili wa kijinsia na kwamba kwa kuanzia tayari wameunda dawati la kijisia katika ofisi hizo za jeshi ambazo zinahudumia kesi za kijinsia,
CPL Kuruthum amendelea kusema kuwa, Madawati ambayo yameunda katika ofisi za jeshi la polisi zitasaidia sana kutatua kero za kijinsia ambazo hapo awali zilikuwa hazipatiwi ufumbuzi,
Amewataka wananchi kuzitumia ipasavyo madawati hayo, na kwamba wataalam wa kutosha wapo wa kujadili mambo ya kijinsia ,wasiogope waje ili wapatiwe ufumbuzi wa matatizo yao ya kijinsia hata kama ni ya faraghaa
Tamko hilo limetolewa mapema hii leo wakatika mkutano wa maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia hapa nchni uliofanyika mapema hii leo, katika viwanja vya TGNP vilivypo maeneo ya mabibo,
Akizungumzia hali halisi ya ukatili wa kijinsia,mwakilishi wa TGNP taifa, Bi. Mary Nsemwa amesema kuwa ukatili wa kijinsia bado ni janga la kitaifa , na kwamba hatua za haraka zinahitajika ili kutokomeza kabisa janga hili ambalo linaota miziz kila kukicha, Nsemwa amesema, ili kuondoa tatizo hilo kwa sasa, Serikali haina budi ielekeze rasilimali za kutosha katika tatizo hilo,
| MWAKILISHI WA JESHI LA POSI MAKAO MAKUU, CPL KURUTHUM AKIFAFANUA JAMBO MBELE YA WADAU WA KIJINSIA KATIKA VIWANJA VYA TGNP |
CPL Kuruthum amendelea kusema kuwa, Madawati ambayo yameunda katika ofisi za jeshi la polisi zitasaidia sana kutatua kero za kijinsia ambazo hapo awali zilikuwa hazipatiwi ufumbuzi,
Amewataka wananchi kuzitumia ipasavyo madawati hayo, na kwamba wataalam wa kutosha wapo wa kujadili mambo ya kijinsia ,wasiogope waje ili wapatiwe ufumbuzi wa matatizo yao ya kijinsia hata kama ni ya faraghaa
| TUNASIKILIZA, WADAU WAKIFUATILIA KWA MAKINI |
No comments
Post a Comment