Zinazobamba

YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE NCHINI


IMG_4043Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari Bi. Zamaradi Kawawa akiwatambulisha kwa waandishi wa habari wawasilishaji toka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii katika mzunguko wa pili wa Taasisi za Serikali kuongea na  waandishi wa habari, KATIKATI ni Mratibu wa Taifa wa Mpango wa Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Dkt. Upendo Mwingira na KULIA ni Afisa Habari Bi.Catherine Sungura wote kutoka Wizara hiyo, wakati wa mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari leo Jijini Dar es Salaam IMG_4064Mratibu wa Taifa wa Mpango wa Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele toka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Upendo Mwingira KUSHOTO akiwaonesha waandishi wa habari Dawa za Kingatiba za Magonjwa yasiyopewa kipaumbele yaliyosambazwa katika wilaya 97 kupitia Bohari kuu ya Madawa. KULIA ni Afisa Habari Bi.Catherine Sungura wote kutoka Wizara hiyo, wakati wa mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari leo Jijini Dar es Salaam. IMG_4083Mratibu wa Taifa wa Mpango wa Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele toka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Upendo Mwingira KUSHOTO akieleza kwa waandishi wa habari juu ya mpango wa serikali kuendelea kuimarisha udhibiti wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele nchini, wakati wa mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari leo Jijini Dar es Salaam KULIA ni Afisa Habari wa Wizara hiyo Bi.Catherine Sungura.

No comments