Zinazobamba

ufunguzi wa warsha ya uandaaji mkakati wa nishati tungamotaka (biomass) wafanyika leo

Picha no. 1Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eng. Ngosi Mwihava (kushito) akisalimiana na Mike Bess ambaye ni mshauri na mmoja wa waanzilishi wa Shirika lisilo la kiserikali linaloshughulikia mazingira na nishati jadilifu (CAMCO) wakati wa warsha ya siku moja ya kujadili uandaaji mkakati wa nishati – tungamotaka (Biomass) nchini inayofanyika leo katika Hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam. Picha no. 3Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eng. Ngosi Mwihava akiongea na washiriki wa  warsha ya siku moja ya kujadili uandaaji mkakati wa nishati – tungamotaka (Biomass) nchini inayofanyika leo katika Hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali linaloshughulikia mazingira na nishati jadilifu nchini (CAMCO) Jett Felten na kushoto ni mhadhili wa Chuo kikuu cha Sokoine (SUA) ambaye pia ni mshauri wa CAMCO Prof. Romanus Ishengoma. Picha no. 6Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eng. Ngosi Mwihava akiongea na washiriki wa  warsha ya kujadili uandaaji mkakati wa nishati – tungamotaka (Biomass) nchini inayofanyika leo katika Hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam. Warsha hiyo ya siku moja imeandaliwa na Shirika lisilo la kiserikali linaloshughulikia mazingira na nishati jadilifu nchini (CAMCO). Picha no. 7Washiriki wa warsha ya siku moja ya kujadili uandaaji mkakati wa nishati – tungamotaka (Biomass) nchini wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eng. Ngosi Mwihava (hayupo pichani) wakati akifungua warsha ya siku moja ya kujadili uandaaji mkakati wa nishati – tungamotaka (Biomass) nchini leo katika Hoteli  ya Colosseum jijini Dar es Salaam. Hivi sasa Serikali iko katika mchakato wa kubadilisha sera ya nishati ili iweze kutekeleza mkakati wa tungamotaka.
Picha no. 8Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini Eng. Ngosi Mwihava (kushoto) akiongea jambo na Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali linaloshughulikia mazingira na nishati jadilifu nchini (CAMCO) Jett Felten mara baada ya kumalizika kwa ufunguzi wa  warsha ya siku moja ya kujadili uandaaji mkakati wa nishati – tungamotaka (Biomass) nchini inayofanyika leo katika Hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam. Picha no. 2Washiriki wa warsha ya siku moja ya kujadili uandaaji mkakati wa nishati – tungamotaka (Biomass) nchini wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunguliwa kwa warsha hiyo leo katika Hoteli  ya Colosseum jijini Dar es Salaam. Hivi sasa Serikali iko katika mchakato wa kubadilisha sera ya nishati ili iweze kutekeleza mkakati wa tungamotaka.
Picha na Anna Nkinda  – Maelezo

No comments