Zinazobamba

PICHA VIKAO VYA CCM DODOMA AGOSTI 26


ccm wakiwa kazini



Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, leo Agosti 26, 2013. Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana.
ccMwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC, leo Agosti 26, 2013 mjini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC, leo Agosti 26, 2013 mjini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
wajumbe wa NEC, ukumbini. Kulia mstari wa mbele ni Mjumbe wa Kamati ya Ushauri ya Viongozi wastaafu wa CCM, John Malecela ambaye ni mwalikwa kwenye kikao hicho
wajumbe wa NEC, ukumbini. Kulia mstari wa mbele ni Mjumbe wa Kamati ya Ushauri ya Viongozi wastaafu wa CCM, John Malecela ambaye ni mwalikwa kwenye kikao hicho
Mama Salma Kikwete na Zakiah Meghji wakizungumza kabla ya kikao cha NEC kuanza
Mama Salma Kikwete na Zakiah Meghji wakizungumza kabla ya kikao cha NEC kuanza
Dk. Fenela Mkangala na Dk. Asha-Rose Migiro wakijadili jambo kabla ya kikao cha NEC kuanza
Dk. Fenela Mkangala na Dk. Asha-Rose Migiro wakijadili jambo kabla ya kikao cha NEC kuanza
Wajumbe wa NEC kutoka Pemba wakiwa nje ya ukumbi kabla ya kikao kuanza
Wajumbe wa NEC kutoka Pemba wakiwa nje ya ukumbi kabla ya kikaoMwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, leo Agosti 26, 2013. Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana.a kikao kuanza

No comments