Zinazobamba

TOENI TAARIFA ZA UJANGIRI, ATAKA WANANCHI KUJUA FISI NAO NI HATARI



Wananchi wametakiwa kutoa ushirikiano katika vita dhidi ya ujangiri kwani kufanya hivyo kutasaidia kwa kiasi kikubwa kupambana na ujangiri ambao unaendelea kwa kasi

KAIMU MKURUGENZI MSAIDIZI, UZUIAJI UJANGIRI Bw. John Muya.akifafanua jambo kwa waandishi wa habari juu ya umuhimu wa kushirikiana kuchunga rasilimali zetu za asili
Akizungumza na wanahabari jijini Daresalaam hivi karibuni, Mkurugenzi mtendaji wa idara ya wanyama pori,Bw. Alexanda Songorwa amesema dhima ya kulinda rasilimali ya taifa hili ni la kila mmoja na kwamba wananchi waondokane na fikira potofu ya kudhani jukumu la kulinda rasilimali zetu ni za wizara ama maafisa wanyama pori
Hapa mkurugenzi idara ya wanyama poli Alexanda Songorwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya dhima ya kushirikiana katika utoaji taarifa kwa ujangiri wowote utakaojitokeza

No comments