JESHI LA POLISI KANDA MAALUM YAWAKAMATA WEZI WA USIKU, NI MAJAMBAZI SUGU YANAYOTUMIA SILAHA ZA MOTO
,
Jeshi la polisi kanda maalum ya Daresalaam limefanikiwa
kukamata silaha za moto saba na risasi kumi na tisa pamoja na mapanga ambayo yalitumika kufanya vitendo vya ujambazi katika mabweni ya Yombo one katika chuo
kikuu cha Daresaalam
KAMISHINA WA POLISI SULEIMANI KOVA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI |
Akizungumza na Blogu ya jamii ya FULLHABARI, DCP Ally Mlege kwa niaba ya
Kamishina wa polisi kanda maalu ya Daresaalaam
Suleimani Kova, Mlege amesema
Mnamo tarehe 08-07-2013 huko maeneo ya ubungo katika kituo cha daladala
jeshi hilo lilifanikiwa kuwakama
majambazi wanne wakiwa na silaha aina ya shorti gun ikiwa na risasi
moja,lap top mbili aina ya Toshiba, simu aina ya sumsung model C3230
DCP Mlege ameendelea kubainisha kuwa majambazi hayo
wamefanikiwa kuyakamata baada ya kuwawekea mtego kwa muda mrefu, watu hao maada
ya mahojiano marefu wamekili kuhusika na uharifu uliotokea katika mabweni hayo
june 21 saa tisa usiku ambapo waliweza
kumjeruhi mwanafynzi mmoja na kutokomea na mali za wanafunzi wa mabweni hayo
No comments
Post a Comment