BILALI KUJIONEA MWENYEWE JUMAMOSI, NI ZIARA YA TANDALE KUGAGUA USAFI
MAKAMU WA RAISI ANTARAJIWA KUWA NA ZIARA YA SIKU MBILI YA KUKAGUA USAFI KATIKA JIJI LA DARESALAAM NA MJI JIARANI WA BAGA MOYO KATIKA MKOA WA PWANI MAPEMA WIKI IJAYO
AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI JIJINI ARESALAAM, WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS ANAYESHUGHULUKIA MAZINGIRA Bi. Terezya Huviza,amesema ziara hiyo itaanzia ofisini ya makamu wa rais na kupitia maeneo ya Tandale,Mabibo,tabata kumalizikia huko Bagamiyo mkoani Pwani
Ziara hiyo imekuja siku chache baaa ya kuona hali ya usafi badp ni tete na hivyo muheshimiwa raisi kuamua kuingia kazini mwenyewe kuona nini hasa kinachofanya jiji la Daresalaam kuenelea kuwa katika hali ya uchafu
Akizungumzia suala la mji kupigwa eki nyakati za ujio wa Obama, uvisa amesema hiyo ni suala la kawaia kwani turikuwa tunamkarimu mgeni na kwamba wao wamejipanga kuendelea na kuumisha usafi wa jiji mua wote
AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI JIJINI ARESALAAM, WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS ANAYESHUGHULUKIA MAZINGIRA Bi. Terezya Huviza,amesema ziara hiyo itaanzia ofisini ya makamu wa rais na kupitia maeneo ya Tandale,Mabibo,tabata kumalizikia huko Bagamiyo mkoani Pwani
Ziara hiyo imekuja siku chache baaa ya kuona hali ya usafi badp ni tete na hivyo muheshimiwa raisi kuamua kuingia kazini mwenyewe kuona nini hasa kinachofanya jiji la Daresalaam kuenelea kuwa katika hali ya uchafu
Akizungumzia suala la mji kupigwa eki nyakati za ujio wa Obama, uvisa amesema hiyo ni suala la kawaia kwani turikuwa tunamkarimu mgeni na kwamba wao wamejipanga kuendelea na kuumisha usafi wa jiji mua wote
No comments
Post a Comment