Zinazobamba

NCHAMA ACHUKUA FOMU KUTIA NIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIVULE.


Na Mwandishi Wetu.

Kada wa CCM Chacha Wambura Nchama amechukua fomu ya kutia nia kugombea Ubunge Jimbo la Kivule. 

Nchama ambaye ni mfanyabiashara  amechukua fomu hiyo leo Julai 1,2025  kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala Chief Sylvester Yaredi. 
Aidha amesema kwamba ametia nia kugombea nafasi hiyo kwa lengo la kumsaidia Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kuondoa changamoto zinazokabili Jimbo la Kivule. 

No comments