Zinazobamba

MWENYEKITI JUKWAA LA WANAWAKE KATA YA GONGOLAMBOTO ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UDIWANI VITI MAALUMU.


Na Mwandishi Wetu.

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake Kata ya Gongolamboto Neema Mchau amechukua fomu ya kugombea Udiwani Vitu Maalumu Manispaa ya Ilala. 

Mchau amekabidhiwa fomu hiyo leo Julai 1,2025 na Katibu Umoja wa Wanawake (UWT) wilaya ya Ilala Rosemary Mwakisalu Ofisini kwake Ilala Dar es salaam. 
Aidha amewaomba Wanawake wajitokeze kuchukua fomu ili kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwani CCM ina demokrasia ya kutosha. 

No comments