Zinazobamba

Uchambuzi matokeo ya somo la dini EDK kwa mwaka 2023 huu hapa, shule zinazoshiriki zaongezeka, wanafunzi 16,000 washindwa kufanya mtihani




TAARIFA YA MATOKEO YA MTIHANI WA KUHITIMU ELIMU YA MSINGI WA ELIMU YA DINI YA KIISLAMU ULIOFANYIKA TAREHE 09.08.2023

 

1.0. Utangulizi

Islamic Education Panel inatangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba wa Elimu ya Dini ya Kiislamu na lugha ya kiarabu uliofanyika August 9, 2023 pamoja na mtihani wa kuhitimu madrasa uliofanyika August 12 na 13, 2023.

Jumla ya shule 3975 katika mikoa 26 ya Tanzania bara na visiwa viwili (02) vya Zanzibar (Unguja na Pemba) zimeshiriki mtihani huu. Halmashauri 159 zilishiriki kufanya mtihani wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu.


 

2.0.Mahudhurio ya watahiniwa

Jumla ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu walikuwa 174,719. Watahiniwa waliofanya mtihani ni 157,823 sawa na asilimia 90.33. Idadi ya watahiniwa ambao hawakufanya mtihani kutokana na sababu mbalimbali ni 16,896 sawa na 9.67%.

 

2.1.  Jedwali linaloonesha ulinganisho wa takwimu za watahiniwa waliofanya mtihani wa somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu mwaka 2022 na mwaka 2023.

MWAKA

MIKOA

HALMASHAURI

IDADI YA SHULE

IDADI YA WATAHINIWA

2022

25

151

3903

150,945

2023

28

159

3975

157,823

ONGEZEKO(IDADI)

3

8

72

6878

ASILIMIA YA ONGEZEKO (%)

12

5.3

1.8

4.56

 

2.2  Idadi ya Halmashauri zilizoshiriki katika mtihani huo imeongezeka kwa Halmashauri 8 kutoka Halmashauri 151 mwaka 2022 hadi kufikia halmashauri 159 mwaka 2023 sawa na asilimia 5.3

 

2.3   Idadi ya shule zilizofanya imeongezeka   kutoka 3,903   mwaka 2022 hadi 3975 mwaka 2023 ambayo ni sawa na ongezeko asilimia 1.8

 

2.4  Idadi ya watahiniwa waliofanya mtihani imeongezeka kwa watahiniwa 6878 sawa na asilimia 4.56 kutoka watahiniwa 150,945 mwaka 2022 hadi watahiniwa 157,823 mwaka 2023.


3.0.   Ufaulu

Mtihani ulikuwa na jumla ya alama hamsini. Matokeo yametolewa kwa madraja A hadi

E. Mtahiniwa anahesabika kuwa amefaulu ikiwa amepata daraja A, B, C au D.

 

3.1 Idadi ya watahiniwa waliofaulu kwa kupata madaraja A hadi D ni 139,181 sawa na asilmia 88.19 ya watahiniwa wote 157,823. Idadi ya watahiniwa waliopata daraja E ni 18,591 sawa na asilimia 11.81 ya watahiniwa wote waliofanya mtihani.

Idadi ya watahiniwa na madaraja yao ni kama inavyoonyeshwa katika Jeduali hapa chini:

3.1  Jedwali linaloonyesha ufaulu wa watahiniwa kwa mgawanyo wa madaraja

DARAJA

A

B

C

D

E

IDADI

2,681

8,663

48,037

79,803

18,591

ASILIMIA

1.70

5.49

30.44

50.56

11.78

 

3.2   Shule kumi bora kitaifa katika kundi la shule zenye watahiniwa 20 au zaidi. Shule kumi bora zenye watahiniwa 20 au zaidi zimepangwa kuanzia shule yenye ufaulu wa juu kabisa kama inavyoonyeshwa katika jedwali hapa chini.

 

3.3  Jedwali linaloonyesha shule kumi bora katika kundi la shule zenye watahiniwa 20 au zaidi.

 

S/N

 

JINA LA SHULE

 

HALMASHAURI

 

MKOA/KISIWA

 

WASTANI

1

MBAGALA ISLAMIC PRIMARY SCHOOL

MANISPAA YA TEMEKE

DAR ES SALAAM

49.33

 

2

MUZDALIFA ISLAMIC PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA NACHINGWEA

LINDI

49.08

3

IBUN JAZAR PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA MKURANGA

PWANI

48.48

 

4

MUMTAAZ PRIMARY SCHOOL

JIJI LA MWANZA

MWANZA

46.77

5

BISMARCK PRIMARY SCHOOL

MANISPAA YA ILEMELA

MWANZA

46.65

 

6

RAHMA PRIMARY SCHOOL

JIJI LA DODOMA

DODOMA

46.62

7

KANGA PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA MAFIA

PWANI

46.03

 

8

ALGEBRA ISLAMIC PRIMARY SCHOOL

MANISPAA YA KIGAMBONI

DAR ES SALAAM

46.03

9

KYENGE ISLAMIC PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA BUKOBA

KAGERA

45.88

 

10

MUZDALIFA PRIMARY SCHOOL

MJI WA MASASI

MTWARA

45.71


3.4  Shule kumi bora katika kundi la shule zenye watahiniwa chini ya 20.

Shule kumi bora katika kundi la shule zenye watahiniwa chini ya 20 zimepangwa kuanzia shule yenye ufaulu wa juu kabisa kama inavyoonyeshwa katika jedwali hapa chini.

3.5  Jedwali linaloonyesha shule kumi bora zenye watahiniwa chini ya 20

 

S/N

 

JINA LA SHULE

 

HALMASHAURI

 

MKOA/KISIWA

 

WASTANI

1

AL-BAYAAN PRIMARY SCHOOL

ILALA

DAR ES SALAAM

46.72

2

KINYELEZI ISLAMIC PRIMARY SCHOOL

ILALA

DAR ES SALAAM

46.63

3

ZASHAZ PRIMARY SCHOOL

ARUSHA JIJI

ARUSHA

45.2

4

KAHAMA PRIMARY SCHOOL

KIBONDO

KIGOMA

45

5

MALEMBO PRIMARY SCHOOL

NGORONGORO

ARUSHA

45

6

ALHIJRA PRIMARY SCHOOL

HAI

KILIMANJARO

44

7

SENGEREMA MUSLIM PRIMARY SCHOOL

SENGEREMA

MWANZA

43.81

8

LOLIONDO PRIMARY SCHOOL

NGORONGORO

ARUSHA

43

9

HIDAYA MEMORIAL PRIMARY SCHOOL

LINDI MANISPAA

LINDI

43

10

AL- RAHMAH PRIMARY SCHOOL

MKURANGA

PWANI

42.78

3.6   Shule kumi za mwisho katika kundi la shule zenye watahiniwa 20 au zaidi. Shule kumi za mwisho katika kundi la shule zenye watahiniwa 20 au zaidi zimepangwa kuanzia shule yenye ufaulu mdogo kabisa kama inavyoonyeshwa katika jedwali hapa chini.

 

3.7  Jedwali linaloonyesha shule kumi za mwisho katika kundi la shule zenye watahiniwa 20 au zaidi.

S/N

JINA LA SHULE

HALMASHAURI

MKOA/KISIWA

WASTANI

1

MISHA PRIMARY SCHOOL

MANISPAA YA TABORA

TABORA

5.85

2

IZENGA PRIMARY SCHOOL

MANISPAA YA TABORA

TABORA

6.46

3

MAKOKANE PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA SAME

KILIMANJARO

6.64

4

YELAYELA PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA URAMBO

TABORA

6.9

5

KISHAA PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA SAME

KILIMANJARO

7.61

6

YOMBOLUKINGA

WILAYA YA KISARAWE

PWANI

7.63

7

IGAMBILO PRIMARY SCHOOL

MANISPAA YA TABORA

TABORA

7.64

8

SONGAMBELE PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA URAMBO

TABORA

7.67

9

MAJENGO PRIMARY SCHOOL

MJI WA MPANDA

KATAVI

7.71

10

UYUI PRIMARY SCHOOL

MANISPAA YA TABORA

TABORA

7.79


3.8  Shule kumi za mwisho kitaifa katika kundi la shule zenye watahiniwa chini ya 20.

Shule kumi za mwisho katika kundi la shule zenye watahiniwa chini ya 20 zimepangwa kuanzia shule yenye ufaulu mdogo kabisa kama inavyoonyeshwa katika jedwali hapa chini.

 

3.9  Jedwali linaloonyesha shule kumi za mwisho katika kundi la shule zenye watahiniwa chini ya 20

S/N

JINA LA SHULE

HALMASHAURI

MKOA/KISIWA

WASTANI

1

ANTSA PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA KARATU

ARUSHA

3.33

2

NSIMBO PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA NSIMBO

KATAVI

3.67

3

KWAUGORO PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA MERU

ARUSHA

4

4

CHEMCHEM PRIMARY SCHOOL

MJI WA BABATI

MANYARA

4.5

5

NAMBEHE PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA NAMTUMBO

RUVUMA

5

6

MVUNGWE PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA SAME

KILIMANJARO

5

7

NYAMTENGELA PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA USHETU

SHINYANGA

5

8

NKWAMAKUU PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA HAI

KILIMANJARO

5

9

SARJANDA PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA HANANG

MANYARA

5

10

IGUMO PRIMARY SCHOOL

WILAYA YA IGUNGA

TABORA

5

 

3.10  Halmashauri kumi (10) bora.

Halmashauri kumi bora zimepangwa kuanzia halmashauri yenye ufaulu wa juu kabisa kama zinavyoonyeshwa katika jedwali hapa chini.

 

3.11  Jedwali linaloonyesha Halmashauri kumi (10) bora.

S/N

JINA LA HALMASHAURI

MKOA/KISIWA

WASTANI

1

WETE

PEMBA

34.13

2

WILAYA YA NGORONGORO

ARUSHA

34.07

3

CHAKECHAKE

PEMBA

33.57

4

MJI WA NEWALA

MTWARA

27.22

5

MAGHARIBI

UNGUJA

26.48

6

WILAYA YA KALAMBO

RUKWA

26.32

7

KUSINI

UNGUJA

26.23

8

WILAYA YA BUKOBA

KAGERA

25.44

9

WILAYA YA MPIMBWE

KATAVI

24.43

10

WILAYA YA CHALINZE

PWANI

24.18


3.12  Halmashauri kumi (10) za mwisho.

Halmashauri kumi za mwisho zimepangwa kuanzia Halmashauri yenye ufaulu mdogo kabisa kama zinavyoonyeshwa katika jedwali hapa chini.

 

3.13  Jedwali linaloonyesha Halmashauri kumi(10) za mwisho.

S/N

JINA LA HALMASHAURI

MKOA/KISIWA

WASTANI

1

WILAYA YA KILINDI

TANGA

9.09

2

WILAYA YA MADABA

RUVUMA

11.72

3

WILAYA YA BUHIGWE

KIGOMA

12.51

4

WILAYA YA KWIMBA

MWANZA

12.67

5

WILAYA YA NAMTUMBO

RUVUMA

12.71

6

WILAYA YA MKALAMA

SINGIDA

12.86

7

WILAYA YA MONDULI

ARUSHA

13.08

8

WILAYA YA NYANGH'WALE

GEITA

13.09

9

WILAYA YA NANYUMBU

MTWARA

13.33

10

WILAYA YA MAGU

MWANZA

13.55

 

 

3.14  Ufaulu kimkoa.

Mikoa imepangwa kuanzia mkoa wenye ufaulu wa juu kabisa hadi mkoa wenye ufaulu wa chini kabisa.

 

3.15  Jedwali  linaloonesha  ufaulu kimikoa.

 

S/N

MKOA/KISIWA

WASTANI

1

KISIWA CHA PEMBA

33.85

2

KISIWA CHA UNGUJA

24.25

3

DAR ES SALAAM

21.95

4

KAGERA

21.19

5

ARUSHA

20.81

6

PWANI

20.16

7

SONGWE

19.85

8

RUKWA

18.94

9

MOROGORO

18.65


10

MTWARA

18.47

11

LINDI

18.34

12

MWANZA

18.14

13

DODOMA

17.97

14

TANGA

17.8

15

IRINGA

17.68

16

SHINYANGA

17.52

17

GEITA

16.88

18

KATAVI

16.55

19

MANYARA

16.55

20

KILIMANJARO

16.49

21

KIGOMA

16.38

22

MBEYA

16.2

23

SINGIDA

16.18

24

SIMIYU

15.76

25

TABORA

15.71

26

RUVUMA

15.45

27

NJOMBE

14.51

28

MARA

14.3

 

18.4467

 

 

4. Tanbihi: Matokeo kwa kila shule yanapatikana katika tovuti -www.iep.or.tz Imetolewa na Mwenyekiti wa Islamic Education Panel Tarehe    23/08/2023.

 

 

MOHAMMED R. KASSIM MWENYEKITI IEP TAIFA


Hakuna maoni