Na Mussa Augustine
JUMUIYA ya Kiislamu Tanzania
imeomba Serikali kuendelea kuandaa mtaala ya Dini na Vitabu vya
kufundishia.
Akizungumza jijini Dar es
Salaam Alhajj Shelk Mussa Kundecha amesema Jumuhiya na taasisi za kiislamu
nchini imepokea kwa masikitiko makubwa kwa Serikali kuja namfumo mpya wa masomo
ya Dini.
"Kwamfano kwenye Serikali
kuna Pombe halali na Pombe haramu wakati katika Uislamu pombe zote ni
Haramu".Alisema Sheikh Mussa kundecha.
Shelkh kundecha alisema kuwa
serikali haitakiwi kuipangia mitaala ya masomo ya Dini,Badala yake waziache
taasisi za kiislamu kutengeza mitaala yao wenyewe.
Aidha amesema kuwa somo la Dini haliwezi kuratibiwa
na Serikali,hivyo waaziache taasisi za dini ziratibu mitaala yake zenyewe.
Hakuna maoni
Chapisha Maoni