Zinazobamba

RAIS MAGUFULI AFUMUA TENA BARAZA MAWAZIRI,SURA MPYA ZATAWALA,MBAYA WA KUBENEA NAYE AULA,SOMA HAPO KUJUA



Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri nchini huku akizigawanya baadhi ya wizara zikiwemo Wizara ya Kilimo na Mifugo, Nishati na Madinina na kuongeza wizara mpya mbili na kufikisha jumla ya wizara 21. Katika Mabadiliko hayo, Mawaziri wawili na manaibu waziri wameongezwa.
KWA UFUPI HILI HAPA


MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI

 Mawaziri jumla watakuwa 21 zimeongezeka nafasi 2

 Manaibu jumla watakiwa 21 zimeongezeka nafasi 5

 Majina ya mawaziri wateule ni kama ifuatavyo:-

 Utumishi - mkuchika

 Nishati - kalemani ; naibu - mgalo

 Madini - kairuki ; naibu - nyongo

 Ujenzi - mbarawa ; naibu - nditie (ujenzi) na kwandikwa (mawasiliano)

 Fedha - mpango ; naibu - kijaji

 Katiba - kabudi

 Habari - mwakyembe ; naibu - shonza

 Ndani - nchemba ; naibu -masauni

 Maliasili - kigwangala ; naibu -kasunda

 Ardhi - lukuvi ; naibu - mabula

 Kilimo - tizeba ; naibu - mwanjelwa

 Mifugo/uvuvi - mpina ; naibu - urega

 Nje - mahiga : naibu - kolimba

 Ulinzi - mwinyi

 Maji - kamwele ; naibu - awoshio

 Viwanda/biashara - mwijage ; naibu - manyanya

 Elimu - ndalichako ; naibu - olenasha

 Afya - mwalimu ; naibu - faustine

 Tamisemi - jafo ; manaibu - sekamba na kakunda

 MaZingira - makamba ; naibu - lugola

 Vijana - mwamgama ; manaibu - mavunde na kipupa


 Mwisho; mabadiliko yamefanyika kwenye bunge.

 Katibu bunge - kagaigai

  gumzo ni kwa Juliana Shonza ambaye ameteuliwa kuwa Naibu Waziri Habari,Utamadauni na Michezo,
Juliana Shonza ambaye hivi karibuni aliingia kwenye mgogoro Mbunge wa Ubungo John Kubenea ampaka kufukia hatua ya  kushikana masharti nje ya Bunge Mjini Dodoma na kupeleka Mbunge Shonza kufungua kesi Mahakamani kumshtaki Mbunge kubenea ambaye ni Mwandishi Nguli wa habari  nchini.

ENDELEA KUFUATILIA FULLHABARI.BLOG utawekewa baraza lote