MBUNGE LEMA ALISHAMBULIA BARAZA JIPYA LA MAGUFULI,SOMA HAPO KUJUA
Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutangaza baraza jipya la Mawaziri huku mawaziri wengi wakiwa wamesalimika katika wizara zao na wachache kufanyiwa mabadiliko, Mbunge wa Arusha Mjini ametoa mtazamo wake na kusema kwamba katiba mpya