Watu
17 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha lori la mizigo aina ya
Scania lenye namba za usajili T198CBQ na Noah ya abiria yenye namba za
usajili T232BQR iliyotokea jana usiku katika kijiji cha Nsalala mkoani
Shinyanga.
A
MZIMU WA AJALI WALITESA TAIFA,AJALI MBAYA YATOKEA NCHINI,SOMA HAPO KUJUA
Reviewed by Unknown
on
19:51:00
Rating: 5