Zinazobamba

WATAELEWA TU KWA LOWASSA,ASIMAMISHA SENGEREMA LEO,TIZAMA BALAA LAKE HILI,SOMA HAPO KUJUA

MGOMBEA Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye anaungwa mkono na Vyama vya Ukawa Edward Lowassa amezidi jibitishia hana mpinzani nchi,baada ya kuonyesha anaungwa mkono kwa kishindo kikubwa na Umati wa wananchi wanajitokeza kwenye mikutano yake.
      


Hayo yamebainika tena leo alipokuwa anawahutubia wakazi wa Sengerema na maeneo yake,mgombea huyo amepokea na umati mkubwa huku shuguli zote zikisimama kwa masaa matano kumpisha Lowassa,

Lowassa ambaye anaungwa mkono na Vyama vya NCCR-Magenzi,Chama cha Wananchi CUF ppamoja na Nld amesema hatma ya nchi ipo kwa watanzania kwa kumwezesha kushindwa kwa kishindo kwenye nafasi hiyo ya Urais ili aje kuliokoa Taifa na hali mbaya ya Uchumi iliyopo sasa,

Hakuna maoni