UWIIIIIIIIIIII LOWASSA NI HATARI, AVUNJA REKODI MWANZA.WATU 50 WAPOTEZA FAHAMU,MJI MZIMA WASIMAMA,SOMA HAPO KUJUA
![]() |
Lowassa amelitikisa jijini la Mwanza jioni hii ambapo mwandishi wetu ameshuhudia zaidi ya watu 50 wakipoteza fahamu baada ya uwanja huo kujaa kupita uwezo wake |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTPBMm3du8reALEMOA2b3KPXDnAg5pLOEyXsArH3F101HcL1pf2EiDCQohctu75kQIxtfkSkaZQiOA9vxla7f7fRaiOsafWin36rCqgS04aHeb6L5047GUKcx6FvpCKzYXGpB5dK7kQ5c/s1600/5.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0q_xDpJgEPFrWIHmoDQ49p-eyyC_tjJE5gNMqzFnOD3msrXp9ESTWAM5p7mbg1ZIaQTvXdWCesB2XMLRQXms_whQ9ESNFBULKsxGxXGFWMBeE3T_gUEWJTMJnC6jbg2YOvwKxPWEbhkk/s1600/4.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTBDInwflfp4rDlbGNl71fJdp_OzfkzDL8KvgdIDZs7MBBJL4zPjGbvr5w1VVHXhlTB6tdCMBx5OzpSb8LiTWUX2w4foYvZI5w1e9xUG5yCOABvKsQVnGOI2KExjpqVe8uT9AgIVVddt8/s1600/3.jpg)
SIKU mpja kupita baada ya Mgombea
Urais kuipitia Chadema Edward lowassa ambaye anaungwa mkono na Vyama vya Ukawa
Edward lowassa kutikisa Mkoani Msoma,
Basi balaa hilo limeamia Mkoani Mwanza
leo na kusababisha mji mzima wa Mwanza kusimama huku shughuli zote kufungwa
kumpisha Lowassa azungumze nao,
Mkutano huo wa Lowassa umepelekea watu
zaidi ya 50 kupoteza fahamu baada ya umati mkubwa wa watu waliojitokeza
uwanjani hapo,
Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama
vya NCCR-Mageuzi,CUF,NLD amewataka watu wa mwanza kujitokeza na kumpigia kura
hapo Octoba 25 ili aweze kuondoa tatizo la umasikini ambalo limekuwa na laana
kwa watanzania.
Hakuna maoni
Chapisha Maoni