KUDADEKI LOWASSA ACHENI JAMANI TIZAMA HII MUSOMA MJINI NI SHIDA,MPENI NCHI YEKE JAMANI,TIZAMA GHARIKA HIILI KWA KUBOFYA HAPO,SOMA HAPO KUJUA
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtl1/v/t1.0-9/12106757_767158623428014_4802104822719207016_n.jpg?oh=ae0aeb81a976dca496365b74cca50cb4&oe=569BC7CC)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/12143201_767158666761343_4618237939317481871_n.jpg?oh=952778328a3840f5b074a3a1d7139cfa&oe=568CEE1A)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12106743_767158700094673_8347557108535496514_n.jpg?oh=8ac476e49aca71efbf647ac02c65b712&oe=568CBC6B)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xta1/v/t1.0-9/12096489_767158713428005_493269796151365880_n.jpg?oh=934228b14e6d178625a88c041370ca10&oe=5690ACD3)
MGOMBEA Urais kupitia Chama cha Demokrasia na
Maendeleo
Chadelma,Edward Lowassa ametikisa maeneo ya Musoma mjini leo,huku
mafuriko yake yakisababisha huduma zote zikisimama,maoneyo yote ya Msoma Mjini.
Lowassa ambaye anaungwa mkono kwa pamoja na Vyama
vya CUF,NCCR-Mageuzi pamoja NLD,ambapo ametumia mkutano wake huo kuwataka
watanzania kumchagua ili awe Rais wa awamu ya Tano ili awatatulia Matatizo
mbali mbali yanayo wakabili watanzania,
Lowassa akizungumza kwa uchungu amesema inasitika
kuliona Taifa kama Tanzania lenye Rasilimali nyingi huku wananchi wake wakiwa
masikini wa kutupwa,
Amesema akifanikiwa kushika dora atahakiksiha
Rasimili zilizopo nchin zinakuwa kwa faida kwa kila mtanzania na kuondokana
kabisa kwa tatizo la Umasikini
Hakuna maoni
Chapisha Maoni