Zinazobamba

DK SLAA AENDELEA KUTUMIKA KUUBOMOA UPINZANI NCHINI ,ATUMIA STAR TV KULIPIZA KISASI,SOMA HAPO KUJUA

NAYEJIITA na kuitwa mwanasiasa mstaafu Dk Wilbroad Slaa ameendelea kujitumikisha kwa chamacha mapinduzi CCM  bila yeye kujijua.AnaandikaKAROLI VINSENT endelea nayo.
Akihojiwa leo kwenye kituo cha Luninga kinchomilikiwa na Mwenyekiti wa Kampeni wa Mgombea wa Urais wa Chama cha Mapinduzi CCM Antony Diallo,ametumia mda mwingi kumshambulia mgombea wa Urasi kupitia Chama cha Demikrasia na Maendeleo Chadema Edward lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinavyounda Ukawa,
Ambapo Katibu huyo wa Zamani wa Chadema aliyetekwa na mchumba yake mama Mushumbuzi amesema Taifa alimtaji Rais anayezungumza mda wa Dakika tano.Slaa huku akimlenga Lowassa ambaye ni mgombea anayekubalika kwa kila mtanzania wa leo.
Slaa Amekili Taifa linaitaji mabadiliko lakini linaitaji kiongozi wakweli wenye nia ya dhati,Slaa huku akitumia kipindi hicho kukishambilia chama cha CCM amesema kimeshindwa kumkomboa mtanzania wa leo kwenye lindi la umasikini.

Hata hivyo Slaa  ameungana na aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya Katiba ya wananchi Jaji Warioba ambaye amesema Rushwa ni tatizo kubwa katika nchi.

Hakuna maoni