Zinazobamba

UZINDUZI WA BENKI YA WALIMU YAFANA DAR

Mweka hazina wa kwanza wa benki tarajiwa ya walimu "Benki ya Biashara ya walimu "akitoa neno mapema hii leo katika ufunguzi wa zoezi la kuuza hisa kwa wateja wa kitanzania, mtu yeyote anaweza kununua hisa hizo, na kwamba hisa ni shilingi 500

Mkurugenzi mtendaji wa benki mpya ya kibiashara ya walimu akifafanua jambo mapema hii leo, Benki hiyo leo imezindua zoezi la kuuza hisa zake, zoezi ambalo limerahisishwa zaidi kwa kuweza kununua hisa hizo kwa njia ya Mmtandao, Mteja atapiga namba *150*36# kisha fuata maelekezo na utakuwa umejipatia hisa zako.

Watendaji wa benki hiyo mpya wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa benki hiyo ,

Wageni rasmi waliohudhuria sherehe hizo za uzinduzi wa benki ya walimu, serikali imeahidi kuwapa ushirikianao wa hali ya juu ili kuinua uchumi wa walimu.

katibu mkuu wa Walimu akifafanua jambo katika uzinduzi huo, mapema hii leo, benki ya walimu ndiyo hiyo imeanzaa, kazi kwako mwalimu kukimbilia fursa,

Rais wa chama cha walimu , akifafanua jambo katika uzinduzi huo,  Mmkoba aliwaomba walimu na watanzania kwa ujumla kujiunga na benki ya walimu kwani ni sehemu imara ya kuwainua watanazania wote.

Mwenyekiti wa benki hiyo  Mpya akifafanua kitu.

Mmwandishi wa habari akiwajibika.


Mwigulu Nchemba akifafanua jinsi serikali ilivyojizatiti kuhakikisha benki ya walimu inasimama.

Mgeni rasmi katika uzinduzi huo, Bw. Majariwa akisoma hutoba kwa niaba ya waziri mkuu,

No comments