HOTNEWS-SINEMA YA URAIS WA LOWASSA,YAENDELEA WACHUNGAJI WAMVAMIA KWAKE SOMA HAPA KUJUA
| Viongozi wa dini ya kikristo wakiwasili mjini dodoma leo kumtaka Lowassa agombanie Urais |
VIONGOZI
mbalimbali wa dini ya kikristo wakiwemo wachungaji wamemuibuki waziri mkuu
aliyejiuzulu kwa ufisadi wa Richmond Edward Lowassa na kumtaka agombania urais
kwenye uchaguzi hapo baadae mwakani.
Kwa mujubu wa chanzo chetu
kilichopo Dodoma kinasema msululu huo wa watu mbalimbali ambao ni viongozi wa
dini wamewasili mkoani hapo wakiwa na kauli moja ya kumtaka agombani nafasi ya
Urais.
Lowassa ambaye ni Mbunge wa jimbo la
munduli ni miongoni mwa makada wa chama cha Mapinduzi CCM anayeutaka urais kwa udi
na uvumba kwa sasa inaelezwa ni kama bahati kwa viongozi mbalimbali wa dini
kumtaka agombanie urais.
Mbali na viongozi hao wa kiroho wa
dini ya kikristo kumuibukia tayari ya watu wanaojiita ni Masheikh mbalimbali
kutoka bagamoyo wameshafunga safari na kwenda Dodoma na kumtaka agombanie
urais,
No comments
Post a Comment