Zinazobamba

SONGAS MBIONI KUFUNGA MITAMBO YA KUFUA UMEME, MRAMBA ASEMA NA WAJARIBU WAONE


 


 SIKU chache Kupita Baada,Kampuni ya kufua umeme kwa njia ya Gesi,Songas limited kutishia kuzima mitambo yake,kutokana na ilichokiita.shirika la umeme Nchini(TANESCO) kushindwa kulipa deni linaofikia Dola za Kimarekani 72.8 milioni(karibu sh 116.4 bilioni za kitanzania).
Naye,Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umeme Nchini(TANESCO) Eng Felchesmi J Mramba,ameibuka na kusema Songas wamevunja makubaliano kwa kitendo chake ,cha kutumia vyombo vya Habari kudai deni hilo.
 Maneno ya Mkurugenzi huyo ameyatoa Leo Jijini Dar Es Salaam wakati alipokuwa anafanyiwa Mahojiano na Mwandishi wa Mtandao huu juu ya Taarifa zilizoripotiwa na Gazeti moja linalotoka kila wiki juu ya Madai ya Madai hayo,ambayo yatapelekea Nchi kuingia Gizani.
Mahusiano ya Songas na Tanesco ni ya kibiashara,na utaratibu kudai deni uko wazi.sasa nashangaa kampuni ya Songas wanatumia vyombo vya habari kudai fedha hizo,


Hivi na mimi pia wanataka nitumie Vyombo vya Habari kujibu hayo madai wanayoyasema?mimi nawaomba Songas watumie utaratibu mzur 
kupitia Gazeti la Mawio,kiukweli hajafanya busara

 Inadaiwa kuwa Songas walitumia gazeti la mawio kutangaza deni lao huku wakitishia kuzima mitambo yao kama fedha yao hawatalipwa kwa wakati

Hakuna maoni