𝗨𝗛𝗨𝗥𝗨 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗘𝗞𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗘𝗡𝗬𝗔 𝗨𝗡𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗕𝗔𝗬𝗔 𝗡𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗛𝗔𝗥𝗔𝗞𝗔𝗧𝗜 - 𝗠𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗘

"Watu wote wanaoshawishu vurugu hawapo Tanzania, waliomia kwenye madhara kwa maana ya kuathirika kwa vurugu wapo Tanzania"
"Watanzania tushirikiane na tupaze sauti kuiambia dunia kwamba tunafahamu kinachoendelea , tunatka Marekani ieshimu uhuru na mamlaka ya Tanzsnia, tunaweza kujiendesha na tunafahamu yupo muarifu ambaye ni Mangi Kimambi amejificha marekani, tunatambua wao wanapambana na waharifu na mwarifu mmojawapo ni Mangi yupo kwenye ardhi yao, wamrudishe kwakuwa amekuwa sehemu ya kuchochea vurugu nchini"
"Mangi amekiri kwamba kitendo cha meta kuzuia akaunti zske kimekwamisha kuzuia vurugu za Disemba 9 pia amewashukuru wakenya na kusema waendelee kuwasaidia kama wanavyowasaidiaga kwa maana tunajua wanaowatunza hao akina HildaNewton wapo Kenya na wanahusika na machafuko..tunaitaka Kenya na wao kutoa ushirikiano wao katika kuwakamata waharifu hawa"
Bw. 𝗛𝗮𝗯𝗶𝗯𝘂 𝗠𝗰𝗵𝗮𝗻𝗴𝗲
Mwenyekiti wa Kituo cha Wanahabari watetezi wa Rasilimali za Taifa
Mkutano na Waandishi wa Habari
🗓️17 Disemba 2025
No comments
Post a Comment