Zinazobamba

FREEMAN MBOWE ATAKA FIDIA KUBWA KWA MAKONDA,SOMA HAPO KUJUA


Sakata la kutajwa kwa Mbowe Katika List ya Madawa ya kulevya iliyotangazwa na Paul Makonda lazidi kuchukua Sura Mpya baada ya Mbowe Kufunguka Haya:
"Nina mipango wa kudai fidia kwa kuchafuliwa jina, hilo liko wazi nilisema toka siku ya kwanza kwa hiyo mpango huo lazima tutautekeleza" Mhe. Freema Mbowe.