BREAKING NEWS,YUSUFU MANJI HALI YAKE YAWA MBAYA NDANI YA SELO ALIPO,SOMA HAPO KUJUA

HALI ya Mwenyekiti wa Klabu ya Mpira ya
Yanga,mfanyabiashara Yusufu Manji yawa mbaya zaidi baada kutolewa Kituo cha
Polisi cha kati Jijini dare s Salaam anakoshikiliwa na kukimbizwa Hispitalini.
Kwa mujibu wa Vyanzo vya karibu vilivyo kwenye kituo
hicho, kinasema majira ya jioni hii ,gari la kubeba wagonjwa lilionekana kituoni
hapo huku akitolewa Manji kutoka ndani ya kituo hicho cha polisi na kupakiwa
kwenye gari la wagonjwa teyari kwa kukimbizwa Hospitali.
Fullhabari.blog ilimtafuta Kamishna wa Kanda Maalum
ya Dar es Salaam,Simon Siiro kuzungumzia hali hiyo,simu yake haikuweza kupatikana.
Mfanyabiasha Manji anashikiliwa na Polisi tangu
Alhamisi ya wiki iliyopita baada ya kutii agizo la Mkuu wa mkoa wa Dar es
Salaam,Paul Makonda aliyemtaja Manji na pamoja na watu wenginge 64 ambao
wanatajwa kuhusika katika kuuza Madawa ya kuleva.