TGNP YAENDESHA MAFUNZO KWA MADIWANI KUHUSU BAJETI YENYE MLENGO WA KIJINSIA...YAWATAKA KWENDA KUSIMAMIA RASILIMALI VEMA
| Baadhi ya Madiwani waliohudhuria mafunzo hayo wakisikiliza kwa makini Maelezo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao huo Bi Lilian Liundi. |
| Mmoja wa maafisa waandamizi wa Mtandao wa TGNP, akifafanua jambo katika mafunzo ya bajeti yenye mlengo wa kijinsia kwa madiwani mbalimbali. Mkutano huo utakuwa wa siku 5. |
| Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini mafunzo hayo ya siku tano. |
| Madiwani wakiwa makini kusikiliza mafunzo hayo |