Zinazobamba

PRIDE TANZANIA YAENDELEA KUTOA MIKOPO SABASABA

1Muonekano wa banda la kampuni ya PRIDE Tanzania katika maonesho maonyesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
2 
Moja ya bidha zinazotengenezwa na wajasiriamali wanaowezeshwa na PRIDE Tanzania.
3 
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Charles Mwijage (kushoto), akizungumza na wajasiriamali wa  PRIDE Tanzania wakati maonyesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam (kulia) alievaa tisheti nyeupe ni Afisa Undeshaji Mwandamizi  PRIDE Tanzania, Jumanne Bundala.
4 
Kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya PRIDE Tanzani, Profesa Wiliam lyakurwa, na kulia Meneja Mkuu PRIDE, Shimimana Ntayabaliwe wakimsililiza mjasiriamali mbunifu wa mavazi kutoka Zakwetu Afrika, Bi Asha Sendege wakati wa maonyesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam
5 
Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akitembelea banda la PRIDE Tanzani kujionea wajisiriamali wa PRIDE wakati wa maonyesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
6 
Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akiangalia moja ya bidha kwa matumizi ya nyumbani zinazotengenezwa na wajasiriamali wa PRIDE.
7 
Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akiangalia batiki zinazotengenezwa na wajariamali.
8 
Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete akiangana na wafanyaka wa PRIDE  mara baada ya kutembelea banda hilo.
10 
Meneja wa wa PRIDE Tawi la Kibaha, Bi Shani Madege akiwaelezea wananchi waliotembelea banda hilo kuhusiana huduma zinazotolewa na PRIDE.
11 
Afisa Uendeshaji wa PRIDE Edward Ngw’andu akimuezea mmoja wa wananchi juu ya faida za mkopo kwa mashariti nafuu.12 Wafanyakazi PRIDE Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja nje ya banda la Pride maonyesho ya biashara ya kimataifa ya 40 yanayoendelea jijini Dar es Salaam

Hakuna maoni