TIZAMA VIDEO JINSI MAGUFULI ALIVYOVAMIA OFISI ZA WIZARA YA FEDHA LEO,SOMA HAPO KUJUA
og
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea kwa miguu kutoka Ikulu hadi katika Wizara ya Fedha na kukagua utendaji kazi wa wafanyakazi wa ofisi hizo, hata hivyo alikuta baadhi ya maofisa wakiwa nje ya ofisi zao.
Tazama Video hii kuona kilichotokea
Mpekuzi blo
Hakuna maoni
Chapisha Maoni