RAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MWANAHARAKATI WA HAKI ZA BINADAMU BI BISIMBA,SOMA HAPO KUJUA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za Binadam,Bi
Hellen Kijo Bisimba aliyelazwa hospital ya Agakhan mapema leo kufuatia
ajali ya gari aliyoipata mwishoni mwa wiki barabara ya Al-Hassan Mwinyi
jijini Dar, Dkt Magufuli pia amefanya ziara ya kushtukiza katika
hopsitali ya Taifa ya Muhimbili ikiwemo pia alitembelea wodi mbalimbali
za wagonjwa na kuwajulia hali zao
akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za Binadam,Bi
Hellen Kijo Bisimba aliyelazwa hospital ya Agakhan mapema leo kufuatia
ajali ya gari aliyoipata mwishoni mwa wiki barabara ya Al-Hassan Mwinyi
jijini Dar, Dkt Magufuli pia amefanya ziara ya kushtukiza katika
hopsitali ya Taifa ya Muhimbili ikiwemo pia alitembelea wodi mbalimbali
za wagonjwa na kuwajulia hali zao
No comments
Post a Comment