Zinazobamba

BREAKING NEWS-PIGO KUBWA TASNIA YA HABARI.MHARIRI WA GAZETI LA MAWIO AFARIKI DUNIA,SOMA HAPO KUJUA



 



HABARI zilizotufikia mda huu zinasema Mahariri wa Gazeti la Mawio pamoja na Mtandao wa Mwanahalisi.line Edson Kamukara (pichani) amefariki Dunia Gafla Nyumbani kwake Sinza Wilaya Kinondoni Jijini Dr es Salaam.Anaandika KAROLI VINSENT endeleo nayo.
             Kwa Mujibu wa Taarifa iliotolewa na Katibu mkuu wa Jukwaa la Wahariri nchini Bwana Meena zinasema Kifo cha Mhariri huyokimetokana na kuugua Gafla na akasisitiza taarifa kamili itatolewa baadae.
      Kamukara ambaye aliwai kuwa mhariri wa Gazeti la Tanzania Daima Kabla ajahamia Mawio
  Mtandao huu ulimtafuta Mmiliki wa Gazeti la Mawio Saed Kubenea siimu yake haikuweza kupatikana,ili kupata habari zaidi.
 ENDELEA KUFUATILIA MTANDAO HUU UTAPATA TAARIFA ZAIDI

No comments