Zinazobamba

HABARI KUBWA LEO-UFISADI KAMPUNI YA VODACOM,MAPYA YAIBUKA,KAMPUNI YA MTOTO WA LOWASSA KITANZINI SOMA HAPO KUJUA

pichani Aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya
Vodacom 
Tanzania 
bwana Rene Meza
picha na maktaba


UFISADI wa zaidi ya Dola bilioni 350 ambazo ni  zaidi ya Bilioni 675  za kitanzania kwenye  Kampuni ya simu ya Mkononi nchini ya Vodacom yazidi kuibua mapya,ambapo saa Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo upande wa Tanzania Bwana Rene Meza amejiuzulu ili kupisha aibu kubwa kwenye Kampuni hiyo.Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo.
        Taarifa za kuaminika ambazo mtandao huu umedokezwa zinasemaMkurugenzi huyo  amejiuzulu na kukimbilia zake kwenye kampuni kubwa iliyoko nchini Qatar inayojihusisha pia na masuala ya simu pia inayojulikana kama Ooredoo Myanmar  na kupewa Nafasi ya Mkurugenzi  .
       Kwa Sasa Nafasi yake imeshikwa na Ross Cormack ambaye naye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.
         Kwa Mujibu wa Mtoa taarifa wetu aliyeko ndani Vodacom ameupasha mtandao huu kwamba Bwana Meza alikuwa kwenye  ‘kitimoto’ cha maofisa wa juu wa Kampuni hiyo akihusishwa na kashfa ya kupokea dola milioni tano kutoka kwa Mmiliki wa Shivacom,Tanil Somaiya kwa ajili ya kumziba mdomo Kashfa hiyo.
         Mbali na Bwana Meza kuhusika na Ufisadi huo mkubwa kwenye Kampuni hiyo ya simu za Mkononi nchini pia yako Makampuni mengine yamekuwa yakitajwa sana kuhusika katika ufisadi huo ambao unatajwa na Wachambuzi wa Mambo ambao wanasema utalighalimu hata Taifa kwa kukosa kodi ,ni           Kampuni inayomilikiwa na Mtoto wa Mbunge wa Munduli Fred Lowassa inayojulikana kwa jina la  Alphatel na Planetel kutekeleza udanganyifu mkubwa katika uzalishaji, usambazaji na uuzaji wa vocha pirate elektroniki recharge thamani ya zaidi ya shilingi 675,000,000,000 bila maarifa Vodacom mpaka kashfa ilipogundulika mwaka 2012..
        Chanzo chetu kimebaini pia licha ya Udanyifu huo pia kulikuwa na ukwepaji wa kodi rampant bila ya kodi ya VAT (VAT) yenye thamani ya zaidi ya shilingi 121,000,000,000 evaded na Shivacom na waliopatana, ambayo ni kosa kubwa la jinai.
       Chanzo hicho kilizidi onyesha pia wapo Viongozi waandamizi katika vyombo vya Tanzania serikali ikiwemo  inayofuatilia kama vile Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),  Mamlaka ya Mawasiliono nchini (TCRA) na pia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) walikuwa na makosa katika Ufisadi huo ambao unadaiwa kufanyika kwenye Kampuni hiyo.

         Chanzo chetu hicho kimebainisha kuwa Shivacom peke ndio ilhusika  kusambazwa zaidi ya nusu ya vocha bandia recharge, wakati vocha nyingine pirate walikuwa kusambazwa na waliopatana na Kampuni ya Mtoto wa lowassa ya  Alphatel na Planetel.vocha hizo zinajulikana kama
"Jero Jero" vocha ni vocha zaidi kufunga-kusonga elektroniki recharge ndani ya  Tanzania, na Shivacom uchapishaji umeitia haara ya  mamia ya   vocha bandia kwa kutumia pini zinazotolewa na Vodacom Tanzania.
    Mtoa taarifa wetu aliyoko ndani yaVodacom amesema kuwa kitendo cha kumpuni hiyo kumchukulia hatua bwana Meza kiendane pia na Serikali ya Tanzania kwa watendaji waliopelekea Ufisadi huo.

“Mimi nashaa ana hawa Viongozi wa Serikali ya Tanzania kukaa kimya, leo Kampuni ya Vodacom imemchukulia hatua Mtendaji wake mkubwa bwana Meza inakuwaje kwenye Ufisadi huu wa Bilioni zaidi ya Bilioni mia sita leo hata sisi tusiguswe wakati unaonekana hapa TRN imekusa kodi ambapo inaonekana wazi ni kamakusidi kunakofanywa na watendaji wake na hata Mamlaka ya Mawasiliono nchini TRC pia kuna uzembe wao inakuwaje hapa”

No comments