Zinazobamba

NEEMA YAWAAJIA WAKAZI WA KIJICHI,SOMA HAPA KUJUA

ZAIDI ya shilingi Bilioni 2 zinatarajiwa kutumika kwa ajili ya Ujenzi wa barabara  na zahanati zilizopo Kata ya Kijichi zilizopo Manispaa ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
        Hayo yamesemwa leo na Diwani wa kata hiyo Mheshimiwa Andisoni Challe wakati akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam ambapo amesema kuwa wameanza ujenzi wa Zahanati ndani ya Kata hiyo ambao utakuwa na uwezo kuwalaza Wagonjwa wenye Jinsia tofauti na kutoka sehemu mbalimbali nchini.

           Mbali na Ujenzi wa Zahanati Mheshimiwa Chale  amesema kuwa waamenza Ujenzi wa barabara kutoka Kijichi hadi Tuangoma Jijini Dar es Salaam ambapo itatumika kuwaunganisha wakazi wa eneo hilo,

No comments